Moses Machali ataja sababu ya ukimya wake
Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu, Moses Machali amefafanua kwanini amekuwa haonekani kwenye medani za siasa nchini tangu alipoteuliwa na Rais Magufuli akisema kuwa kazi anayoifanya kwa sasa inamnyima nafasi ya kuonekana kwa umma.