TFF yapigwa marufuku na Mahakama kuu

Kibao cha Mahakama kuu.

Mahakama Kuu ya Tanzania leo, Desemba 13, 2018, imetoa amri ya kuzuia TFF kujaza nafasi ya mjumbe wa kamati ya utendaji ya shirikisho la soka nchini Danstan Mkundi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS