Lugola atumbua Makamanda watatu, Dar na Arusha

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola .

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola ametengua uteuzi wa Makamanda wa Polisi katika mikoa 3 ya kipolisi kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo makamanda hao kushindwa kutekeleza majukumu yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS