Vita ya Kafulila na Heche miaka 10 iliyopita

Kushoto ni Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche Kulia ni Katibu Tawala Mkoa wa Songwe, David Kafulila.

Wakati dunia nzima ikiendelea na Kampeni ya '10YearsChallenge' kwa kushirikisha matukio tofauti tofauti ya miaka 10 iliyopita, www.eatv.tv haipo nyuma katika kukuonyesha safari ya miamba miwili ya siasa mmoja kutoka Kigoma na mwingine kutoka Tarime.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS