Zao la Korosho lapata mnunuzi mpya Balozi wa Algeria nchini, Saad Belabed (kushoto) na Waziri wa Mambo ya Nje Dkt. Damas Ndumbaro Huenda kizungumkuti cha zao la Korosho nchini kikamalizwa kabisa, baada ya serikali kutangaza kupatikana kwa soko jipya la zao hilo nchini Algeria. Read more about Zao la Korosho lapata mnunuzi mpya