Kada CCM,ataka apewe nafasi ya kugombea Urais 2020

Chana Cha Mapinduzi

Moja ya waliokuwa wanawania kupewa nafasi ya kugombea Urais kupitia kwenye Chama Cha Mapinduzi mwaka 2015, Dk Muzzammil Kalokola amedai atakuwa ni moja ya watu ambao wataonesha nia ya kugombea nafasi ya Urais kupitia Chama hicho mwaka 2020.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS