Majaliwa aikosoa Dar es salaam, ataka irekebishwe Waziri Mkuu Kassim Majaliwa. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametaka kufanyiwa marekebisho kwa baadhi ya Majiji hapa nchini, ikiwemo ya Dar es salaam, Tanga, na Arusha ili yaweze kuvutia watalii pindi wanapokuwa wanaingia nchini. Read more about Majaliwa aikosoa Dar es salaam, ataka irekebishwe