Yanga yamaliza salama, kuitangulia Simba masaa
Klabu ya soka ya Yanga imemaliza maandalizi ya mwisho salama bila majeruhi kuelekea mchezo wake wa kesho dhidi ya Stand United ambao utachezwa saa 10:00 jioni, masaa manne kabla ya mechi ya AS Vita Club na Simba.

