Auawa na kuondolewa sehemu za siri Kagera

Watu wawili wamefariki mkoani Kagera katika matukio mawili tofauti, likiwamo la mzee mmoja aliyejulikana kwa jina la Laurian Kakoto (80), mkazi wa kijiji cha Ihunga kata Kishanda wilayani Muleba, kukatwa sehemu zake za siri na wahusika kuondoka nazo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS