"Upinzani tunachelewa kuungana"- Halima Mdee Mbunge wa Kawe (CHADEMA), Halima Mdee. Mbunge wa Kawe (CHADEMA), Halima Mdee amesema kuwa vyama vya upinzani vimekuwa vikiungana kipindi ambacho muda unakuwa umeenda na matokeo yake kupelekea kufanya maamuzi ya haraka. Read more about "Upinzani tunachelewa kuungana"- Halima Mdee