Walichosema TFF kuhusu Tanzania kufutiwa uenyeji

Mkurugenzi wa Ufundi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Ammy Ninje akiwa nchini Misri kwenye semina ya wakurugenzi.

Baraza la wadhamini wa shirikisho la  soka nchini TFF limesema maswala ya kimichezo kupelekwa mahakamani kutasababisha Tanzania kufutiwa uenyeji wa mashindano ya AFCON U17 yanayotarajiwa kufanyika hapa nchini baadae mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS