De Gea akataa kupewa heshima

David De Gea

Mlinda mlango mahiri wa klabu ya Manchester United, David De Gea amesema hastahili kupewa sifa yeye peke yake kufuatia mchezo wa jana, Januari 13 dhidi ya Tottenham Hotspurs, bali ni kwa timu nzima.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS