Miaka 21, namba 1 duniani na rekodi ya ubingwa Naomi Osaka Mjapan Naomi Osaka amemshinda Petra Kvitova wa Jamhuri ya Czech kwenye fainali ya michuano ya wazi ya Australia iliyomalizika mchana huu huko Melbourne. Read more about Miaka 21, namba 1 duniani na rekodi ya ubingwa