Manara awalinganisha Zahera na Aussems kiaina

Haji Manara akiwa na kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera (katikati) na kocha wa Simba, Patrick Aussems (kulia)

Afisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara ameitaja sababu ya yeye pamoja na mashabiki wa klabu hiyo kutoa jina jipya la 'Professor' kwa kocha wao, Patrick Aussems kuwa ni kutokana na weledi wake wa kufundisha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS