Kangi awasimamisha kazi maofisa watano

Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola.

Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amewasimamisha kazi maofisa 5 wa idara ya wakimbizi wakituhumiwa kutoripoti uwepo wa nguo 1,947 zinazodaiwa ni za jeshi la Burundi, kwenye kambi za Nduta na Mtendeli zilizopo Mkoani Kigoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS