Mchezaji wa Simba arejea kuelekea mechi na Al Ahly

KIkosi cha Simba

Kuelekeza mchezo wa 3 Kundi D ligi ya Mabingwa Afrika, klabu ya Simba kupitia kwa kocha wake Patrick Aussems, amethibitisha kuwa mshambuliaji wa timu hiyo John Bocco ameshapona na anatarajiwa kuanza kucheza muda wowote.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS