Amber Ruty kesi yapamba moto, wakili azungumza

Amber Ruty

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imeambiwa kwamba upelelezi wa kesi inayomkabili Msanii wa video za wasanii, Rutyfiya Abubakary Amber Ruty umekamilika na wenzake wawili dhidi ya mashtaka mawili la kufanya mapenzi kinyume na maumbile.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS