Lissu azungumzia 'mazishi' yake yalivyoandaliwa

Mbunge Tundu Lissu

Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Antiphas Lissu amesema anahofia kutaja majina ya watu waliomtahadharisha kuhusu namna mazishi ya kifo chake namna yalivyopangwa kwa kuwa hataki watu hao wapitie matatizo ambayo yeye tayari amekwishapitia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS