Maamuzi mapya ya BASATA kwa Rosa Ree

Picha ya msanii HipHop Rosa Ree

Baraza la Sanaa la Taifa "BASATA"  limempunguzia adhabu rapa wa kike nchini Tanzania Rosa Ree ya kumfingia miezi 6, na kumruhusu kuendelea na shughuli zake za kisanaa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS