Belle 9 aogopa kuwachana Jux na Ben Pol

Katika Picha ni wasanii wa muziki nchini Belle 9, Juma Jux na kulia ni Ben Pol.

Msanii wa RnB anayewakilisha pande za Morogoro Belle 9, amepata kigugumizi kujibu ni nani mkali kati ya Ben Pol na Juma Jux, ambao wote ni wakali wa muziki wa Rnb hapa nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS