Jimbo la Amber Rutty lipo wazi huku

Picha ya Amber Rutty akiwa na aliyekuwa Mume wake

Msanii na video vixen Bongo Amber Rutty, ametangaza kutokuwa kwenye mahusiano tena, sasa hivi yupo "single",  na ameachana na aliyekuwa mpenzi wake aitwaye Said Bakary.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS