Akamatwa baada ya kusamehewa na Rais Magufuli

Mfungwa Mussa Msola akiwa chii ya Ulinzi wa Polisi

ikiwa ni siku mbili tu zimepita tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, kutoa msamaha kwa wafungwa 70 mkoani Njombe, mmoja wa wafungwa hao Musa Msolwa, amekamatwa na Jeshi la Polisi, kwa kuvunja na kuiba kwenye nyumba ya wageni Mjini Makambako.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS