RC Shinyanga atangaza kukagua watu wanaooana

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainab Telack.

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainab Telack, amekiri kuwepo kwa baadhi ya wanawake mkoani kwake kuogeshwa dawa ili kuvutia wanaume katika mahusiano, huku akitangaza kufanya ukaguzi wa Ndoa zinazofanyika mkoani humo kwa ajili ya kuzuia ndoa za utotoni hasa kwa wanafunzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS