Ndege ya ATCL iliyokamatwa Canada yaachiwa

Ndege ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL).

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, amesema kuwa Ndege ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) aina ya Bombadier Q400, iliyokuwa ikishikiliwa nchini Canada imekwisha achiwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS