Kinondoni yapigwa tafu kwenye Tiba

Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Benjamini Sita akimkabidhi mashuka Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya cha Kigogo

Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Mhe. Benjamini Sita amevipongeza vyama vya ushirika vilivyopo katika Halmashauri hiyo kwa kujitolea vifaa vya Hospitali katika Kituo Cha Afya cha Kigogo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS