Katavi: Mume na Mke wauawa kikatili, Dada asimulia

Askari wakifanya shughuli ya kuokoa miili ya marehemu

Noel Mswanya na Stela kisanga ambao ni Mume na Mke wakazi wa Mtaa wa Nsemulwa wilayani Mpanda mkoani Katavi, wameuawa kwa kukatwa mapanga, baada ya kuvamiwa na watu wanaodhaniwa ni majambazi usiku wa kuamkia leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS