Tujifunze kitu katika safari ya Samatta na Msuva

Mbwana Samatta akiwa na Simon Msuva kwenye moja ya mechi za timu ya taifa.

Ili ukacheze Ulaya sio kitu rahisi, haswa ukiwa unatokea mataifa ambayo kwenye ramani ya soka hayapo hata kwenye nafasi 100 bora. Pongezi kwa Simon Msuva kutoka Yanga mpaka Difaâ Hassani El Jadidi na sasa anaelekea Panathinaikos ya Ugiriki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS