Kigwangalla ahoji bilioni 4 za Mo kwa Simba SC

Dkt.Hamisi Kigwangalla akiwa kwenye tuzo za Mo Simba Awards

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla ambaye ni shabiki kindakindaki wa klabu ya Simba, amehoji juu ya matumizi ya Sh. bilioni 4 alizotumia mwekezaji wa klabu hiyo, Mohammed Dewji 'Mo' kulipa mishahara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS