Kauli ya Makonda baada ya Mo Dewji kujiuzulu Makonda na Mo Dewji Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda, amewataka Mashabiki wa Simba kuwa watulivu baada ya Mwekezaji, Mohammed Dewji kutangaza kujiuzulu kwenye nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba. Read more about Kauli ya Makonda baada ya Mo Dewji kujiuzulu