Jeraha la Mane kuikwamisha Liverpool?, Klopp anena

Sadio Mane na kocha Jurgen Klopp

Usiku wa Alhamisi, Januari 23, 2020 Klabu ya Liverpool imeshinda mchezo wake wa 14 mfululizo katika EPL msimu huu ilipoifunga Wolves mabao 2-1 katika uwanja wake wa nyumbani wa Molineux.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS