Jeraha la Mane kuikwamisha Liverpool?, Klopp anena
Sadio Mane na kocha Jurgen Klopp
Usiku wa Alhamisi, Januari 23, 2020 Klabu ya Liverpool imeshinda mchezo wake wa 14 mfululizo katika EPL msimu huu ilipoifunga Wolves mabao 2-1 katika uwanja wake wa nyumbani wa Molineux.