Kauli ya Makonda baada ya Mo Dewji kujiuzulu

Makonda na Mo Dewji

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda, amewataka Mashabiki wa Simba kuwa watulivu baada ya Mwekezaji, Mohammed Dewji kutangaza kujiuzulu kwenye nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS