Wanafunzi wanaotuhumiwa kwa mauaji wapata Div 2

Mkuu wa Gereza la Bukoba, Jasson Kaizilege.

Wanafunzi Sita wa shule ya Sekondari ya Katoro Islamic Seminary, wanaoshtakiwa kwa kosa la mauaji baada ya kumuua mwanafunzi mwenzao, wote kwa pamoja wamepata ufaulu mzuri licha ya kufanyia mtihani huo gerezani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS