Sheikh aoa mwanaume mwenzake agundua baada ya wiki
Sheikh mmoja nchini Uganda aliyejulikana kwa jina la Mohamed Mutumba wa Msikiti wa Kyampisi Masjid Noor, uliopo katika wilaya ya Kayunga, amesimamishwa kufanya kazi hiyo baada ya kumuoa mwanaume mwenzake akidhani ni mwanamke.

