Ajali ya Morogoro ilivyoleta simanzi kwa Taifa

Eneo la Msamvu, Morogoro ilipotokea ajali ya Lori la Mafuta, Agosti 10, 2019.

Ikiwa yamebaki masaa kadhaa kuumaliza mwaka 2019, East AfricaTelevision, East Africa Radio na mitandao yetu ya kijamii leo Disemba31, tunakuletea matukio kadhaa yaliyotikisa nchi ya Tanzania.Yapo yaliyoacha simanzi, majonzi na wengine yakiwaachia makovu na ulemavu wa kudumu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS