Nkurunziza afariki dunia, chanzo chatajwa

Marehemu Pierre Nkurunziza

Rais wa Burundi aliyemaliza muda wake, Pierre Nkurunziza amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 55, baada ya kupata mshtuko wa moyo, hii ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na serikali ya Burundi na Balozi Willy Nyamitwe

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS