Hali ya Lowassa baada ya kupata taarifa ya msiba Edrward Lowassa na mdogo wake ambaye ni marehemu Bernard Lowassa Mdogo wa Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa anayefahamika kwa kwa jina la Bernard Lowassa, amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Aghakhan jijini Dar es salaam. Read more about Hali ya Lowassa baada ya kupata taarifa ya msiba