Madereva wa malori wadai kuombwa hongo Kenya
Baadhi ya madereva wa malori wanaofanya shughuli zao kupitia mpaka wa Namanga upande wa Keny, wamelalamikia kitendo cha wao kutozwa kiasi cha Shilingi 2000 ya Kenya, ili wakipimwa majibu yao yasikutwe na maambukizi ya Corona.

