Kilichotokea kwenye mazishi ya aliyeuawa na Polisi

Watu wakibeba jeneza kuelekea kumzika George Floyd

Jumanne ya Juni 9, 2020, ilikuwa ni siku maalum kwa wakazi wa Marekani hasa wale weusi baada ya kumuaga na kuzikwa kwa raia George Floyd ambaye ameuawa mikononi mwa Polisi Derek Chauvin mwishoni mwa mwezi Mei.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS