"Siwezi kusema uongo kwenye Madhabahu" - Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, amesema kuwa mwanaye wa kuzaa alipata maambukizi ya Virusi vya Corona lakini alijitibu kwa kujifukiza na kutumia maji ya limao na Tangawizi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS