NCCR Mageuzi yadai kuvuna wanachama elfu 90
Chama cha NCCR Mageuzi kimewapokea wanachama takribani 90,000 kutoka vyama mbalimbali vya siasa katika mikoa ya Shinyanga na Mara, akiwemo aliyekuwa Katibu Mwenezi wa CHADEMA Jimbo la Shinyanga, ambao wamevihama vyama vyao.