Ummy atema cheche baada ya hotuba ya Rais Magufuli

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu.

Kufuatia hotuba ya Rais Magufuli jana Mei 3, 2020, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu, amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuwasimamisha kazi Mkurugenzi na Meneja wa Maabara ya Taifa ya Jamii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS