Zitto Kabwe aachiwa huru kwa masharti haya Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam, imemuachia huru Kiongozi wa Chama cha ACT azalendo, Zitto Kabwe kwa sharti la kwamba, asitoe matamshi ya uchochezi katika kipindi cha mwaka mmoja. Read more about Zitto Kabwe aachiwa huru kwa masharti haya