Makonda adai CHADEMA hawamtaki Meya Jacob

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, amesema aliyewahi kuwa Meya wa Ubungo Boniface Jacob alikuwa akijitapa kwamba anaongoza Manispaa hiyo kisasa, na kumbe anayo makandokando mengi yaliyopelekea hata chama chake kumuondoa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS