Makonda adai CHADEMA hawamtaki Meya Jacob
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, amesema aliyewahi kuwa Meya wa Ubungo Boniface Jacob alikuwa akijitapa kwamba anaongoza Manispaa hiyo kisasa, na kumbe anayo makandokando mengi yaliyopelekea hata chama chake kumuondoa.

