CHADEMA waeleza hali ya Mbowe kwa sasa

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema kuwa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe anaendelea kupata uangalizi wa ziada chini ya Madaktari na Wauguzi wa Hospitali ya Aga Khan, baada ya kufanyiwa uchunguzi na matibabu ya ziada tangu alipofikishwa hospitalini hapo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS