Polisi wadai Mbowe alilewa, wamtaja Joyce Mukya
Jeshi la Polisi nchini limesema upelelezi wa tukio la kushambuliwa kwa M/kiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, limebaini kuwa eneo la tukio kulikuwa na watu ambao wangeweza kusikia lakini hawakuona tukio lolote na hata alipofikishwa Hospitali alikuwa kalewa chakari na kushindwa kutamka maneno.