"Aliyekula mahari ya mtoto ataitapika" - ACP Shana
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha ACP Jonathan Shana, amesema kuwa Jeshi hilo halitokuwa na huruma kwa yeyote ambaye, atamuozesha mtoto wake kwa sababu ya tamaa za mali na yeyote ambaye tayari amekwishapokea mahari ama kula chakula kwenye sherehe ya kupokea mahari hatomuacha salama.