Bodi ya ligi na maagizo makuu msimu ujao. Afisa Mtendaji mkuu wa TPLB, Almas Kasongo akizungumza na Waandishi wa Habari. Bodi ya ligi kuu Tanzania bara TPLB imefungua mchakako wa ukusanyaji maoni kuhusu maboresho ya kanuni za ligi msimu ujao wa 2020-21. Read more about Bodi ya ligi na maagizo makuu msimu ujao.