Bodi ya ligi na maagizo makuu msimu ujao.

Afisa Mtendaji mkuu wa TPLB, Almas Kasongo akizungumza na Waandishi wa Habari.

Bodi ya ligi kuu Tanzania bara TPLB imefungua mchakako wa ukusanyaji maoni kuhusu maboresho ya kanuni za ligi msimu ujao wa 2020-21.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS