DC Ilala ataja anachojivunia kwa miaka mitano
Mkuu wa Wilaya ya Ilala ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Manispaa hiyo, Dkt. Sophia Mjema amesema utekelezaji wa ilani ya CCM kuanzia 2015/20 Manispaa hiyo imekusanya mapato ya ndani kiasi cha shilingi Bilioni 51.