DC Ilala ataja anachojivunia kwa miaka mitano

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Dkt. Sophia Mjema

Mkuu wa Wilaya ya Ilala ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Manispaa hiyo, Dkt. Sophia Mjema amesema utekelezaji wa ilani ya CCM kuanzia 2015/20 Manispaa hiyo imekusanya mapato ya ndani kiasi cha shilingi Bilioni 51. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS