Calisah afikishwa polisi, Amber Lulu ahusika

Mwanamitindo Calisah na msanii Amber Lulu

Mwanamtindo Calisah anadaiwa kufikishwa kituo cha polisi cha Urafiki na kutolewa dhamana na msanii Amber Lulu kwa kosa la kurudisha gari aina ya Vitz ambalo alikuwa amekodi likiwa lina matatizo ya vioo vya pembeni, mafuta na kushindwa kulipia pesa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS