Juventus yashindwa kutangaza ubingwa

Juventus inahitaji kushinda mechi 1 kati ya 3 kutawaa ubigwa wa Serie A

Juventus imechemsha kutwaa ubingwa wa Serie A mapema baada ya kufungwa 2-1 na Udinese kwenye mchezo wa ligi kuu ya soka nchini Italia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS