Mourinho ampa tano Harry Kane.

Kocha wa Tottenham Hotspurs (Kulia), akimpongeza mshambuliaji wake Harry Kane kwa kufikisha mabao 200 ngazi ya vilabu.

Kocha mkuu wa klabu ya Tottenham Hotspurs Jose Mourinho amemwagia sifa mshambuliaji wake Harry Kane kwa kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Newcastle United ambayo yanamfanya afikishe mabao 200 katika ngazi ya vilabu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS