Bondia Mfaume Mfaume akijifua kuelekea pambano lake na Arnel Tinampay Agosti 28
Bondia Mfaume Mfaume ameendelea na mazoezi kwa ajili ya kujiweka imara kuelekea pambano lake la kimataifa dhidi ya Bondia kutoka nchin Ufilipino, Arnel Tinampay, litakalofanyika mwezi ujao.