Masau awashukia mashabiki wa Simba

Msemaji wa klabu ya Ruvu Shooting, Masau Bwire akiwa Studio za East Africa Radio katika Kipindi cha Kipenga kujadili masuala mbali mbali ya Michezo.

Msemaji wa klabu ya Ruvu shooting Masau Bwire amesema kitendo au kauli alizoongea aliyekua kocha wa Yanga ni za kulaani na sio kuzitumia kama utani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS