Simba mikononi mwa Waarabu CAF
Simba SC kutoka Tanzania imepangwa kwenye kundi A kombe la shirikisho na timu mbili kutoka ukanda wa Afrika ya kaskazini CS Sfaxien ya Tunisia na CS Constantine ya nchini Algeria, Wekundu wa Msimbazi wanarekodi nzuri dhidi ya timu za Kiarabu je Simba wanaweza kuendeleza rekodi yao?