Wanachama 60 CHADEMA wahamia CCM

Katibu mkuu CCM Balozi Dkt. Nchimbi akiwakaribisha wanachama wapya mkoani simiyu

Katibu mkuu chama cha mapinduzi Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewapokea wanachama Zaidi ya 60 kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na kuhamia CCM katika wilaya ya Itirima mkoani simiyu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS